it has several owners who have shares...out of the ten notable shareholders, 8 of them are Kenyan and are black...sio kusema yule billionaire wenu ni Mtz ila Muindi anayeishi tz...
Hata Tanzania tulikuwa na matangazo yetu ya utalii kwenye viwanja vya mpira kama hivyo EPL,sio kitu kipya.Tatizo wakenya ushamba umewajaa mnooo ,ka kitu kado mtaongea na kusifiana hadi mkauke mate.
Haya tunawatakia uchaguzi mwema Wajaluo vs Wakikuyu
Hata Tanzania tulikuwa na matangazo yetu ya utalii kwenye viwanja vya mpira kama hivyo EPL,sio kitu kipya.Tatizo wakenya ushamba umewajaa mnooo ,ka kitu kado mtaongea na kusifiana hadi mkauke mate.
Haya tunawatakia uchaguzi mwema Wajaluo vs Wakikuyu