Kenyatta atumia picha ya jeshi la uganda kuisifia kdf!

wapi kasifia kdf au mimi ndio sijui kusoma....last time I checked ata ug wako Somali.
Jmanai hamjui kuwa watanzania kuna ka ugonjwa maalufu sana tulikuwa tuna kaita
miaka hiyo kwenye shule ya upili hasa wakati wa mtihani wa History , Jina lake
kaliitwa "Language barrier" .
 
soon watasema John Beer wakwao....btw waje kumchukua tu
 
Jmanai hamjui kuwa watanzania kuna ka ugonjwa maalufu sana tulikuwa tuna kaita
miaka hiyo kwenye shule ya upili hasa wakati wa mtihani wa History , Jina lake
kaliitwa "Language barrier" .

Wewe mwenyewe una 'Kiswahili barrier', halafu aliyeanzisha mada hii ni Mkenya. Ushauri, nenda kajifunze kuandika.
 
Pia mimi nimetafuta wapi KDF imesifiwa hapo, maana huu ni ujumbe wa kuhamasisha jamii isimame na wanaume na wanawake wanaopigana Uganda.
 
Wawe KDF or UPDF soldiers, what does it matter? Si wote wako huko kama AMISOM, fighting to restore stability in Somalia.

Nitpickers alert!
 
Aah mazee, amekosea bhana, hako katabia mmezaliwa nako, kubalini tu.
Usipokuwa makini mtandaoni, matokeo ndio hayo; hata kudaiwa wewe muongo na wasio na uelewo. Wakumbuka ile sakata ya TBC hivi majuzi?
 
Yeah Hoshea, that's RFK mwenyewe.
Anyway, I realy hope the TBC management isnt going to follow thru their decision to sack those guys. Looking at fake Fox News website, anybody could have been fooled by it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…