"Kenyatta,kama umeibiwa si uibe"

"Kenyatta,kama umeibiwa si uibe"

Ngoja tuone matokeo ya mawakala kwani iliyotolewa ni summary
 
WaTz tuache ushabiki hovyo, kauli hii ilitolewa huku kwetu, maneno tofauti ila maudhui ndiyo haya, tukawaka vibaya mno. Leo kauli ya Uhuru inasababisha umsifu kua kapata exposure?
Mara umefurahi kwakua aliyemshinda ni rafiki wa Magu?

Bongo jua kali mpaka ubongo umetengana na uti wa mgongo.
 
Uhuru alikuwa anaongea 'sarcastically' haya mambo ni kawaida sana kwenye kampeni. Si mlete pia zile kauli chafu chafu zilizotolewa kwenye kampeni za NASA. Kama ile ya kalonzo, kuwa serikali ya jubilee ikiingia wakikuyu wote lazima wata 'lay low'! Sijui alimaanisha nini?
 
Back
Top Bottom