Kenyatta na sifa za kijinga kutoka UKAWA

these guys are obsessed with Kenya....why cant you worry abt what is going on in TZ and leave our country alone? btw, hkuna mkenya hata mmoja ambaye huwa anajishugulisha na siasa za TZ kila uchao...
Kuna mkenya hapa, sikumbuki ni nani alikuwa anapenda kuwaambia waache ufakdem! Sijui alikuwa anamaanisha nini lakini hii ya watz na siasa ya KE ndo defination! Ni wewe jombaa?
 
Kuna mkenya hapa, sikumbuki ni nani alikuwa anapenda kuwaambia waache ufakdem! Sijui alikuwa anamaanisha nini lakini hii ya watz na siasa ya KE ndo defination! Ni wewe jombaa?
si mimi but naona JF servers zimjaa habari za kenya toka kwa watu ambao si wakenya...these guys tho!
 
UKAWA ndio chama ya yule Lowassa ama vipi? sielewangi siasa za tz...najua CCM tu tangu nikiwa mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…