Kenyatta: Nitakubali mkiniongeza muda Madarakani

Mkikuyu- Akili timamu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,310
Reaction score
7,465
KENYATTA amekubali hadharani kwamba yupo tayari kuendelea na mamlaka ya serikali baada ya kustaafu.
JPM atakapo kubali wito huo huo wa wananchi 2025, Mikenya msije hapa na riwaya za democrasia.
Lazima wanao chapa kazi kama jembe uncle magu waendelee na pia wanoa iba nchi waendelee
 
Yeye na ruto wanataka fanya ya putin na waziri mkuu wake..
 
Hafai hata kuwa muhudu wa Bar huyo mpuuzi, msikubali wakenya, mwacheni aende kunywa pombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…