Kepsa yasema Kenya inapoteza Tsh trilioni 52 kila siku panapokuwa na maandamano

Kepsa yasema Kenya inapoteza Tsh trilioni 52 kila siku panapokuwa na maandamano

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Muungano wa sekta binafsi nchini Kenya(KEPSA) umesema kuwa taifa linakadiria hasara ya Ksh bilioni 3 kila Upinzani unapoongoza maandamano ya kupinga Serikali.

Kepsa imesema hasara hii inatokana kufungwa kwa Biashara siku za maandamano kwani makampuni mengi yanasitisha shughuli kutokana na woga wa kushambuliwa na waandamanaji.

Kepsa kadhalika imeeleza kuwa hasara ya bilioni 3 ni sawa na kupoteza masaa 14 ya ukusanyaji kodi.

Muungano huo sasa umetoa rain kwa Serikali kutuliza Hali kabla ya kitumbua hakijaingia mchanga.
 
Sio nchi ya ku invest hii, nilishangaa sana kuona wachina wanawekeza nchi ya kipumbavu kama Kenya, raia hawana elimu ya utunzaji miundombinu na hawako civilized kabisa. Kenya ni nchi ya hovyo sn ambapo tayari investors wameanza kujifunza na wameona sehemu salama kwa mitaji yao ni Tz.
 
Back
Top Bottom