COLLOH-MZII
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 722
- 297
- Thread starter
-
- #101
Mwanza
View attachment 490732
Arusha
Tanga
Dodoma
Morogoro
View attachment 490735
Moshi
Iringa
Bukoba
Toa moja enye si kericho na uache wivu.Wame mix picha humo
huwajui hawa watu
Toa moja enye si kericho na uache wivu.
Mkenya bila kuitaja Tanzania au DarNinyi majamaa yani kila mahali lazima mulete ushindani? Hamuwezi acha tu uzi wa mji fulani wa Kenya ubaki wa huo mji? Khaa, mwakera sana.
Unakwenda bali sana hukoMwanza
View attachment 490732
Arusha
Tanga
Dodoma
Morogoro
View attachment 490735
Moshi
Iringa
Bukoba
Hii forum niya Kenya na tunaongelea kericho so usitulete ujinga hapaUnakwenda bali sana huko
chukua tu Iringa
maana wote kilimo cha chai ndio kwao
Hahaha et ujinga!!Hii forum niya Kenya na tunaongelea kericho so usitulete ujinga hapa
Tuna izo picha ya iringa basi..btw kuna mall iringaHahaha et ujinga!!
Iringa Vs huo uchafu tuone
chai kwa chai
Iringa ni mji mdogo TanzaniaTuna izo picha ya iringa basi..btw kuna mall iringa
Haha Wote walima chaiIringa haiwezi kufananishwa na huo utoto