Kero ambazo zinaweza kugeuka fursa

Msingi_Mbio

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2012
Posts
336
Reaction score
44
Nitajie kero ambazo zinaweza kugeuka kuwa fursa ya biashara

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Unataka kuiba mawazo ya watu ili utweet kwa Mengi. Wantaka wazo lako, chemsha Bongo
 
Nitajie kero ambazo zinaweza kugeuka kuwa fursa ya biashara Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
kero ya maji, kwa kuchimba maji na kusambaza/kuuza bill kulipwa kwako au kuingia mkataba na serikali.
 
foleni , ukinunua bodaboda unawin japo inavunja miguu
 
Watu wajanja. Kwenye shindano la mwezi huu la kutwit wazo la biashara inatakiwa u uonyeshe kero ambazo zinaweza geuka kuwa fursa.

Mkuu naona anataka kutumia mwanya huu kushinda na kula pesa za Mengi.

Ukitaka kushinda lazima uumize kichwa. Hapa ni sawa na unaiba mtihani
 
Hili ni wazo langu binafsi jamani na halihusiani na shindano lolote kwanza sijui kama mengi anashindano kama hilo na pili situmii mtandao wa twitter. Natafuta ni jinsi gani naweza kupata wazo la biashara nijiahiri.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
-Chimba kisima kirefu maeneo ya mbezi mwisho then tandaza mabomba ugawie watu maji wakulipe bili kila mwisho wa mwezi.
 
Fungua hospitari maeneo ya uswahilini uwadake wale wanao umwa kipindupindu afu uchonge na kuuza majeneza!
 
zuzu aliona katoto kachanga kametoka kuzaliwa kakiwa bado
hakajakatwa kitovu karopoka eti
"Heeeeeh ONENI KAMEKUJA NA CHAJA YAKE".
 
  • Kukosekana kwa maeneo/mashimo ya kuweka taka mijini
  • Vyoo katika barabara za kwenda mikoani ambapo watu wanachimba dawa..weka vyoo kuanzia chalinze hadi mwanza na kuchaji hela
  • Kero ya wewe kushindwa kufikiri wazo kama hili................Kuna watu kama wewe wengi wasioweza kufikiri wazo la biashara hivyo ukiwa na mawzo ya biashara mengi utawauzia na kupata fedha mfano ni Mo Ibrahimu
  • Kero ya kuongeza kwa vibao vingi vya waganga wa kienyeji katika nguzo za umeme..........Tafuta fursa hapa
  • Kero ya tanzania kuendelea kuwa masikini.......Ombea sana nchi hii TZ
 
Anzisha mtaala wa kuwaandaa wafanyakazi wa madukani na ndani waweze kuheshimu Kazi na kuwa waaminifu then wanao wahitaji huwapata wakiwa na qualification hiyo.
Hata Mimi ninge hitaji wafanyakazi watano ktk Kazi zangu ningekua na imani nao najua wanajua wajibu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…