Kero kero kero!

Pole Bishanga kama haya yota uliyotaja yanamuhusu muhusika mmoja, ila navyojua mimi hayo uliyotaja kuna kila mwanamke linamhusu in one way or another, tumekusikia tutafanyia kazi na kujirekebisha tuwe wake wema.Thanx kwa kutukumbusha
 

Hai wewe noti inaf mbona watunanga hivi? hujambo lakini? neiba?
 
Hai wewe noti inaf mbona watunanga hivi? hujambo lakini? neiba?

Sijambo jamani Gaga, Jirani kaamua mpaka kubadilisha njia watu walichonga sana JF na ninahisi nae ni MDAU humu ndani. Ila Alunta Continua
 
Sijambo jamani Gaga, Jirani kaamua mpaka kubadilisha njia watu walichonga sana JF na ninahisi nae ni MDAU humu ndani. Ila Alunta Continua

Hahahahahaa atakuwa alistukia dili
 
duu!! hapa sitii neno!! natoka
 
Pole kaka, Mungu akusaidie utulize hasira kwa afya yako mwenyewe.
Ndo maana Imeandikwa Wanaume wanatakiwa waishe na wanawake kwa akili.
Tumia akili ya kiume kukabidhiana na hayo!!!!!!!
 
Mwe! Pheeeeewwwww! Labda nifikirie kujibu la kuongea sana. Sie tumeumbwa hivyo mwayego. Tuna idadi kamili ya maneno ya kuongea kwa siku, sasa we unataka tusiongee? Tukiongea sie twataka kusikilizwa tu na sio lazima utoe solution ya tunayoongea. Hapo nadhani hujatuelewa tukoje, hatufanani na yie namna tunavyofikiri.... Jaribu kidogo kutuelewa tuu jameniiii.... :behindsofa:
 
Pole sana mkuu, sitapenda kuingia kwenye ubishi wala ushindani (kuwa hizi tabia usiombe awe nazo mume, nisiharibu thread manake ni topic inayojitegemea), ila ni kweli kuwa baadhi yetu tunazo hizo tabia. Ila angalau moja moja kwenye hizo, manake kama zote ndio mama mmoja anajaaliwa nazo, mmh maisha hayawi rahisi. Ila kama alivyosema mdau mmoja, kina mama unatakiwa uishi nao kwa akili na hekima ya hali ya juu....
 
Wadau ahsanteni kwa michango kede kede,nashukuru na kikubwa zaidi asubuhi nimecheki presha imeshuka.Lol mambo magumu sana haya,harusini ukiangalia wanavyomeremeta ,tabasamu hadi gego la mwisho,ngoma ,nyimbo,mavyakula,mipombe,hotuba ndefu,mabusu kwa maharusi unadhani maisha ya ndoa ni kambingu kadogo kumbe mmmhhhh.....
 
Dah kaka umewashukiaaaaaa aah sina la kuongezea, manake umemalizaaaaaaaaaa
 


Kumbe wewe ni kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…