Kero kwa watoto wa mtaani Mwanza

Kero kwa watoto wa mtaani Mwanza

butaladangwa

New Member
Joined
May 23, 2024
Posts
1
Reaction score
1
Nataka kuuliza serikali ina mpango Gani kuhusiana na watoto wa mtaani jijini mwanza. Maana wanasumbua kweli katika maeneo ya Seketoure na Nata
Je, hao watoto hawana wazazi.
Na kama hawana wazazi, kwanini Serikali halijalichukulia maanani hilo suala?
 
Wengine wako pale mjini kati karibu na makoroboi dah hadi huruma
 
Back
Top Bottom