butaladangwa
New Member
- May 23, 2024
- 1
- 1
Nataka kuuliza serikali ina mpango Gani kuhusiana na watoto wa mtaani jijini mwanza. Maana wanasumbua kweli katika maeneo ya Seketoure na Nata
Je, hao watoto hawana wazazi.
Na kama hawana wazazi, kwanini Serikali halijalichukulia maanani hilo suala?
Je, hao watoto hawana wazazi.
Na kama hawana wazazi, kwanini Serikali halijalichukulia maanani hilo suala?