Kero: Meneja uwanja wa CCM kirumba anasababisha kero

Kero: Meneja uwanja wa CCM kirumba anasababisha kero

username1

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2016
Posts
267
Reaction score
253
Wadau kero yangu ni kuhusu tiketi za VIP B zinakatwa kupitiliza idadi/uwezo wa jukwaa hivyo kupelekea mashabiki kusimama kwa kukosa nafasi. Kila ninapokuja hapa hasa zikicheza hizi timu kubwa simba/yanga lazima ugomvi utokee. Hii inasababishwa na management kushindwa kusimamia vyema zoezi la uuzwaji wa tiketi
 
Hapo uwe unakata tu mzunguko hakuna VIP nchi hii kwenye viwanja vya soka labda kidogo sana pale Azam tena kidogo sana
 
Back
Top Bottom