Kero: Mtandao wa Tigo mnakera

Kero: Mtandao wa Tigo mnakera

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2016
Posts
2,668
Reaction score
3,751
Huu mtandao unazidi kuwa KERO kwa BAADHI ya watumiaji.

Hivi nikwanini mnagawanya dakika za kutumia mchana na nyingine za usiku? Tena eti kuanzia saa nne usiku, hivi mtu mzima anaongea mambo gani usiku huo kila siku?

Kama kwa utafiti wenu mmeona wapo wateja wenu wengi wanatumia muda huo,basi wekeni chaguo ili mteja aamue kama anajiunga na kifurushi chenye dakika hizo za usiku au vinginevyo.

Tigo badilikeni, huduma zenu haziridhishi kabisa. Mtandao upo unakatakata mara unaambiwa namba unayopiga haipo ukirudia unaambiwa inatumika. Sasa piga namba 100 huduma kwa mteja,unaweza ukapiga mara mia hakuna mpokeaji.

TIGO BADILIKENI MAMBO YA KUWEKEA WATEJA DAKIKA ZA USIKU SIO KILA MTU ANATAKA KUBWBWAJA NA SIMU USIKU WA MANANE
ONDOENI ULAZIMA WA KUTUMIA DAKIKA KUANZIA SAA NNE USIKU VINGINEVYO WATAWAHAMA WENGI
 
TIGO WASHENZI SANA!!Mimi wananilia bando zangu tu!eti bando 3000 kwa wiki!!halafu kila mtu ana bando lake tofauti kama mimi 3000!mwingine bando lile eti 2000!!
 
Wengine kifurushi cha wiki 1500 wengine 3000 tena kwa line sawa ambazo zote sio za chuo,hawa tigo ni washeee sana
 
Waniletea deni la kupiga sh 6000 wakati sijakopa kabisa.na internet yao inakula ukitumia au usitumie inaaisha kwa sasa innternet nimehamia mtandao mwingine
 
Na hicho kifurushi cha 500 hakikai kabisa unaongea na mtu mmoja tuu kwisha habari
Yaani tigo nisheeda.
 
Mkuu Mimi laini yao nimeishia kukopa na kuiacha nimeshindwa kuvumilia useng...e huu wa kutesana usiku najiunga na kifurushi tena cha 10000 vidakika vingine naambiwa niamke usiku vidata 3.5 gb nichofanya bora nijiunge halotel kwa GB 6

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Huu mtandao unazidi kuwa KERO kwa BAADHI ya watumiaji.

Hivi nikwanini mnagawanya dakika za kutumia mchana na nyingine za usiku? Tena eti kuanzia saa nne usiku, hivi mtu mzima anaongea mambo gani usiku huo kila siku?

Kama kwa utafiti wenu mmeona wapo wateja wenu wengi wanatumia muda huo,basi wekeni chaguo ili mteja aamue kama anajiunga na kifurushi chenye dakika hizo za usiku au vinginevyo.

Tigo badilikeni, huduma zenu haziridhishi kabisa. Mtandao upo unakatakata mara unaambiwa namba unayopiga haipo ukirudia unaambiwa inatumika. Sasa piga namba 100 huduma kwa mteja,unaweza ukapiga mara mia hakuna mpokeaji.

TIGO BADILIKENI MAMBO YA KUWEKEA WATEJA DAKIKA ZA USIKU SIO KILA MTU ANATAKA KUBWBWAJA NA SIMU USIKU WA MANANE
ONDOENI ULAZIMA WA KUTUMIA DAKIKA KUANZIA SAA NNE USIKU VINGINEVYO WATAWAHAMA WENGI
Mkuu hiyo ishu inakera sana halafu wanaigana mitandao yote.
Juzi nikasema ngoja sasa hivi nibadili mtandao kidogo nikahamia airtel baadae nikanunua GB moja kwa sh 2000 ambayo ni ya wiki.
Baada ya kulipia inakuja meseji iliyoniambia nimepata mb 500 za mchana na mb 500 za usiku.
Dah yaanu nilichukia sana yaani bundle yangu mwenyewe unipangie muda wa matumizi,ni ujinga mtupu.
 
safi achana na hao wanolalalmika wakati njia mbadala ipo, hela yako,cm yako bado ki chip kidogo tu kikusumbue.hama mtandao tu
Waniletea deni la kupiga sh 6000 wakati sijakopa kabisa.na internet yao inakula ukitumia au usitumie inaaisha kwa sasa innternet nimehamia mtandao mwingine
.
 
Umenena vyema
Huu mtandao unazidi kuwa KERO kwa BAADHI ya watumiaji.

Hivi nikwanini mnagawanya dakika za kutumia mchana na nyingine za usiku? Tena eti kuanzia saa nne usiku, hivi mtu mzima anaongea mambo gani usiku huo kila siku?

Kama kwa utafiti wenu mmeona wapo wateja wenu wengi wanatumia muda huo,basi wekeni chaguo ili mteja aamue kama anajiunga na kifurushi chenye dakika hizo za usiku au vinginevyo.

Tigo badilikeni, huduma zenu haziridhishi kabisa. Mtandao upo unakatakata mara unaambiwa namba unayopiga haipo ukirudia unaambiwa inatumika. Sasa piga namba 100 huduma kwa mteja,unaweza ukapiga mara mia hakuna mpokeaji.

TIGO BADILIKENI MAMBO YA KUWEKEA WATEJA DAKIKA ZA USIKU SIO KILA MTU ANATAKA KUBWBWAJA NA SIMU USIKU WA MANANE
ONDOENI ULAZIMA WA KUTUMIA DAKIKA KUANZIA SAA NNE USIKU VINGINEVYO WATAWAHAMA WENGI
 
Kifurushi cha saizi yako cha tsh1500 hii leo wanakupa mb 500 badala ya G1
 
Back
Top Bottom