Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
1.Muziki wa kisasa umegawanyika katika makundi haya (a)Nyimbo za taratibu kama SOUL,R&B,urban JAZZ,na Zouk,country(b)Nyimbo zenye kubeba hisia za kimapinduzi au changamoto kama HIP HOP,REGGAE,(c)Nyimbo za kuchezeka au kubanjuka kama vile Pop,rumba,charanga, na ROCK, na Blues( ndio blues ni mziki wa kasi tofauti na wengi wetu tunavyozania kuwa ni mziki wa taratibu sana kama za akina celine dion na akina whitney huston)
Sasa,unakuta mfano msanii wa bongoflavour anajitambulisha kuwa yeye ni msanii wa R&B,sikiliza sasa utumbo anaoimba na kuuita R&B utacheka.Unakuta mtu anaimba mduara,kesho reggae kesho huyo huyo ana utamkuta na babu yusufu wanaimba taarabu.Hii sasa siiti kuwapa mashabiki zako ladha tofauti...ila ni kuwachanganya kuhusu wewe unawakilisha nini hasa kwenye tasnia soon wanakupotezea unaanza kusema umelogwa kumbe mwanga ni wewe mwenyewe.
2.Kupotea muda mrefu bila kujulikana kuwa umeacha muziki au unasubiria tukuulizie sana ndio uje tena hewani.
3.Wasanii kupenda umaarufu wakati mchango wao kivitendo ni 0% katika tasnia.Kazi tu kujiweka weka mbele ya vyombo vya habari ili utajwe uonekane maarufu kumbe hauna lolote.
4.Wasanii wanaovuma wakishaanza kufulia kuanza kujiita magwiji,legendary,au wakongwe....wakati tukikuangalia kwenye tasnia hata miaka 20 hauna......wakongwe huitwa wasanii ambao wako kwenye tasnia mia 40 na yeye ukimtizama anakuwa ni mzee kweli kweli mfano ni ngurumo.
5.Vijana waliokosa kazi au muelekeo wa maisha kuvamia fani ya mziki wakati hawana kipya cha kuchangia....cha zaidi hapo atataka awe richy mavoko,diamond, au alikiba wa pili badala ya kuwa na upekee wake.Kazi kubwa wanachofanya hapa ni kuzipatia studio pesa za bure kwa kutengenezewa muziki unaofanana.Mwisho wa siku unaharibu hadi heshima yako mtaani kwa kujichoresha kufanya vitu usivyo na uwezo nao.
Wadau changieni kwa kuongezea kero nyingine mnazozifahamu ili wadau wazione wajirekebishe.
Sasa,unakuta mfano msanii wa bongoflavour anajitambulisha kuwa yeye ni msanii wa R&B,sikiliza sasa utumbo anaoimba na kuuita R&B utacheka.Unakuta mtu anaimba mduara,kesho reggae kesho huyo huyo ana utamkuta na babu yusufu wanaimba taarabu.Hii sasa siiti kuwapa mashabiki zako ladha tofauti...ila ni kuwachanganya kuhusu wewe unawakilisha nini hasa kwenye tasnia soon wanakupotezea unaanza kusema umelogwa kumbe mwanga ni wewe mwenyewe.
2.Kupotea muda mrefu bila kujulikana kuwa umeacha muziki au unasubiria tukuulizie sana ndio uje tena hewani.
3.Wasanii kupenda umaarufu wakati mchango wao kivitendo ni 0% katika tasnia.Kazi tu kujiweka weka mbele ya vyombo vya habari ili utajwe uonekane maarufu kumbe hauna lolote.
4.Wasanii wanaovuma wakishaanza kufulia kuanza kujiita magwiji,legendary,au wakongwe....wakati tukikuangalia kwenye tasnia hata miaka 20 hauna......wakongwe huitwa wasanii ambao wako kwenye tasnia mia 40 na yeye ukimtizama anakuwa ni mzee kweli kweli mfano ni ngurumo.
5.Vijana waliokosa kazi au muelekeo wa maisha kuvamia fani ya mziki wakati hawana kipya cha kuchangia....cha zaidi hapo atataka awe richy mavoko,diamond, au alikiba wa pili badala ya kuwa na upekee wake.Kazi kubwa wanachofanya hapa ni kuzipatia studio pesa za bure kwa kutengenezewa muziki unaofanana.Mwisho wa siku unaharibu hadi heshima yako mtaani kwa kujichoresha kufanya vitu usivyo na uwezo nao.
Wadau changieni kwa kuongezea kero nyingine mnazozifahamu ili wadau wazione wajirekebishe.