Willima
Member
- Jul 27, 2022
- 26
- 39
Kero hii ni kubwa na inasumbua watu wengi sana, na uchafu huo unatokana na kuwa karibu na jalala na pia kuwa karibu na machinjio ya ng'ombe.
Uchafu huu unasababisha harufu mbaya inayo fika hadi kwenye nyumba za watu, na pia kuanikwa kwa mbolea ya ng'ombe kunasababisha uwepo wa wadudu kama nzi na mbu ambao pia ni hatari kwa afya ya binadamu, pia kunikwa kwa mbolea hiyo kunasababisha uchafu hasa kipindi cha mvua kwasababu kunakua na tope la mbolea hiyo iliyo anikwa.
Pia uwepo wa mto ambao pia uko karibu na makazi ya watu na pia uko karibu na jalala na uchafu wa jalalani kuangukia mtoni na kusababisa mazingira machafu zaidi.
Pia miundombinu ni mibovu, kuna mfumo mbovu wa maji taka na barabara mbovu.Tunaomba serikali iboreshe miundombinu na kusimamia suala la usafi katika eneo hili
Uchafu huu unasababisha harufu mbaya inayo fika hadi kwenye nyumba za watu, na pia kuanikwa kwa mbolea ya ng'ombe kunasababisha uwepo wa wadudu kama nzi na mbu ambao pia ni hatari kwa afya ya binadamu, pia kunikwa kwa mbolea hiyo kunasababisha uchafu hasa kipindi cha mvua kwasababu kunakua na tope la mbolea hiyo iliyo anikwa.
Pia uwepo wa mto ambao pia uko karibu na makazi ya watu na pia uko karibu na jalala na uchafu wa jalalani kuangukia mtoni na kusababisa mazingira machafu zaidi.
Pia miundombinu ni mibovu, kuna mfumo mbovu wa maji taka na barabara mbovu.Tunaomba serikali iboreshe miundombinu na kusimamia suala la usafi katika eneo hili