Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
je baada ya ku add programmes ume bofya pale chini unapo save hizo programmes? kama la lazima ikurudishe lakini kama ume save basi kuna tatizo.
Walichoniacha hoi tcu ni kuhamisha vocha zao toka crdb kwenda nbc benki ambayo haijasambaa kama nmb au crdb. pengine nakosea lakini sidhani vocha zinapatikana katika benki nyingine other than nbc
mkuu hiyo kauli ni ya kweli??
mkuu hiyo kauli ni ya kweli??
To crown it all mkuu mapema nbc wanachemka - oh mara hatujapata vocha, mara vocha zimeisha tusubiri - kwa crdb mwaka jana hakikutokea kitu kama hicho. Kwa ujumla ni kausumbufu hako.Ni kweli kabisa mkuu, sisi tulio huku changarawe Morogoro tunalazimika kuja Moro mjini kwani hata tukienda mzumbe hawana nbc benki zaidi ya atm mashine tu, ila benki ya crdb ipo.