Kero ya kutozwa pesa na mawakala wa benki kwa malipo ya Serikali

Kero ya kutozwa pesa na mawakala wa benki kwa malipo ya Serikali

mpasta

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
919
Reaction score
2,004
Wadau habari za mchana.

Kuna hili jambo la kulipishwa gharama ya malipo ya Serikali namawakala nilikuwa nalisikia kwa watu leo limenikuta.

Nimeenda kufanya malipo ya TZS 560,000/= kwa CONTROL NUMBER 991440462684, Wakala wa Benki ya CRDB kaniambia nilipe TZS 1500/=

Nilipouliza ni malipo ya nini, akanijibu gharama ya huduma kwa mteja hawalipwi kamisheni kwa malipo ya serikali.

Wajuzi wa mambo naomba kujua hizi gharama ni haki au tunapigwa??
 
Wadau habari za mchana
Kuna hili jambo la kulipishwa gharama ya malipo ya Serikali namawakala nilikuwa nalisikia kwa watu leo limenikuta. Nimeenda kufanya malipo ya TZS 560,000/= kwa CONTROL NUMBER 991440462684, Wakala wa Benki ya CRDB kaniambia nilipe TZS 1500/=. Nilipouliza ni malipo ya nini, akanijibu gharama ya huduma kwa mteja hawalipwi kamisheni kwa malipo ya serikali. Wajuzi wa mambo naomba kujua hizi gharama ni haki au tunapigwa??
Hili nalo la kuanzishia uzi?
 
Back
Top Bottom