The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Sio siri huku tunako ishi mitaa ya Goba maji yamekuwa bidhaa adimu kiasi kwamba unalazimika kusubiria maji utadhani maji ya msaada.
Hali hii inanikera sana huwa najiuliza hivi kazi ya chama tawala ni ipi!? Ni kutuimbia tu manyimbo? Kama ni kuisimamia serikali mbona serikali haileti maji akati kodi inakusanya!?
Juzi kati hapo tumepigwa changa la macho na ziara za awesu maji yakatoka siku alizokuwa hapa alipoondoka tu na maji yameondoka.
Najua kisheria ni kosa lakini hali ikiendelea hivi mimi nitaenda kuichana bendera ya ccm ili nifikishe ujumbe kwa njia rahisi kuwa wananchi tumechoka kupuuzwa.
Hali hii inanikera sana huwa najiuliza hivi kazi ya chama tawala ni ipi!? Ni kutuimbia tu manyimbo? Kama ni kuisimamia serikali mbona serikali haileti maji akati kodi inakusanya!?
Juzi kati hapo tumepigwa changa la macho na ziara za awesu maji yakatoka siku alizokuwa hapa alipoondoka tu na maji yameondoka.
Najua kisheria ni kosa lakini hali ikiendelea hivi mimi nitaenda kuichana bendera ya ccm ili nifikishe ujumbe kwa njia rahisi kuwa wananchi tumechoka kupuuzwa.