Jimbo la kibamba lote miundombinu ni ya hovyo sana ukiondoa tu Huku barabara morogoro. Maji hakuna, barabara hakuna, hospitali hakuna hata chuo Cha afya hakuna, umeme unazimikazimika. Halafu Mbunge wa huko Abbas Mtemvu akiwa anachangia bungeni ni kumsifia Rais Kwa kazi nzuri. Hata waziri wa maji Huwa anawapiga siasa tu .
Ni Bora Hilo Jimbo likajitenga na kuwa Nchi inayojitegemea ili watumie vyema rasilimali za huko na siyo kukamuliwa tozo Kila siku na kutumiwa na Samia kwenye msafara wake wa magari 400.upuuzi kabisa.