Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Morning,
Now hii imekuwa kero kubwa huku Mbezi maji yamefunguliwa juzi leo morng yamekatika na kurudi kwake ni week.
Tumekaa week bila maji the yanakuja kufunguliwa two days yanakatika na hawafungi mpaka week ipete imezidi sasa.
Af mwisho wa mwezi bill kubwa ase silipi this time.
Now hii imekuwa kero kubwa huku Mbezi maji yamefunguliwa juzi leo morng yamekatika na kurudi kwake ni week.
Tumekaa week bila maji the yanakuja kufunguliwa two days yanakatika na hawafungi mpaka week ipete imezidi sasa.
Af mwisho wa mwezi bill kubwa ase silipi this time.