KERO Kero ya mateja na uuzwaji wa unga (Heroine) katika Stendi kuu ya Mabasi jijini Arusha

KERO Kero ya mateja na uuzwaji wa unga (Heroine) katika Stendi kuu ya Mabasi jijini Arusha

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Siku za karibuni kumekuwa na wimbi la uuzwaji wa wazi wa madawa ya kulevya aina ya Heroin katika stendi kuu ya mabasi ya Arusha.

Vijana wanavuta unga waziwazi bila ya kificho, na wanaongezeka kila kukicha.

Mateja ni wengi tofauti na hapo zamani, kiasi cha kutishia usalama wa abiria wanaotumia stendi hiyo.

watumiaji hao (mateja) hulala mahali popote pale stendi hali inayosababisha kero kubwa kwa wananchi.

Kupitia bandiko hili tunaamini hatua stahiki zitachukuliwa na mamlaka husika.
 
Nao wanahaki yao mkuu kama ulivyo. Wew.....life ili
 
Back
Top Bottom