KERO Kero ya matumizi ya bando tunavyopangiwa na mitandao ya mawasiliano

KERO Kero ya matumizi ya bando tunavyopangiwa na mitandao ya mawasiliano

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

TanzaAlphaMill

New Member
Joined
Jul 23, 2024
Posts
1
Reaction score
4
Mitandao ya simu inavuka mipaka sasa. Suala la internet tunayonunua haiwezekani tupangiwe MB za whatsap na za internet ya kawaida pindi tunaponunua bando.

Kwanini kama umenunua GB2 za internet watuache tupange tunatumia wapi sio kutupangia za whatsap ni kiasi fulani afu ya matumizi mengine zinazobakia.

Unakuta internet imekata umebaki na ma MB ya whatsap mengi yasiyo na kazi. Mamlaka husika iangalie kwa undani hili suala limekuwa kero sana kwa sasa.
 
Screenshot_20240722-173327_(1).png
 
Back
Top Bottom