kero ya kusubiria post za ualimu imeonekana kukatisha tamaa sana kwa applicants wengi ila sasa ndo wakati wenyewe,
soma taarifa ya wizara kwenye gazeti la leo la mwananchi au tembelea tovuti ya maswayetu exclusive blogspot kwa taarifa zinazojiri, tutajulishana hapa leo hii hii...!!