Kero ya post za ualimu kuleta matumaini, vijana pumueni sasa

SOCIETY'S FOCUS

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
498
Reaction score
685
kero ya kusubiria post za ualimu imeonekana kukatisha tamaa sana kwa applicants wengi ila sasa ndo wakati wenyewe,
soma taarifa ya wizara kwenye gazeti la leo la mwananchi au tembelea tovuti ya maswayetu exclusive blogspot kwa taarifa zinazojiri, tutajulishana hapa leo hii hii...!!
 
mkuu nimefuatilia hivyo vyanzo sijaona chochote kutoka wizara...naomba tuwekee hyo link tuweze kuisomA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…