Kero ya shule za serikali

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,273
Reaction score
13,567
Nimesikitishwa na kitendo cha shule moja ya Sekondari ya serikali,kutaka wanafunzi warejee makwao,kwa kuwa shule haina CHAKULA na Mzabuni (Supplier) anaidai shule millioni 400.Wanafunzi ndio wameripoti LEO shule,najiuliza kama kulikuwa na tatizo kwa nini asitupe taarifa MAPEMA sisi wazazi/walezi yeye akasubiri mpaka wanafunzi wafike shule ndio aanze kusema Wanatakiwa kurudi nyumbani,ukizingatia wanafunzi wengine wanatumia zaidi ya LAKI MOJA kama nauli ya kwenda shule. Hii ndiyo BIG RESULT NOW KATIKA ELIMU..???/?
 
We ndo unajua leo c tumeshazoe kufungishwa xcul kabla ya muda,wkt mwingine chakula kinakuwa shida,me.xcul inafunguliwa leo lkn nitaenda feb coz najua majanga tupu
 
pole sana mzazi, ILA unaonaje ukichukua hatua
wewe kama mzazi? maana muda unakimbia mno na shule zingine wameshaanza kusoma.
 
Kama unao uwezo mkuu tafuta shule nyingine ya private.
 
pole sana mzazi, ILA unaonaje ukichukua hatua
wewe kama mzazi? maana muda unakimbia mno na shule zingine wameshaanza kusoma.

Sure muda unakimbia ila sina uwezo wa kumpleka private school kwa sasa kwani sikujipanga kwa hilo.!
 
inaumiza sana wazazi hii jamani, hivi kwanini wazabuni hawalipwi kwa wakati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…