Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 47
Hizi ni miongoni mwa kero za TRA iringa.
unakwenda katika ofisi husika kwaajili ya huduma fulani.
unapewa account ukalipie bank, unarudi na risiti ya bank kuonyesha umeshalipia, lakini chaajabu hupati huduma ati kwasababu pesa hiyo hawaioni kwenye mtandano wao.Unaweza ukasota wiki nzima unafuatilia huduma ambayo umeshalipia lakini kwasababu hawaioni kwenye mtandao wao licha ya kuwa na risiti ya bank huwezi kupewa huduma hiyo.
Jambo lingine ni mtandao mbovu wa internet.Kila ukienda mara mtandao umekata, kero hizi hadi lini.Inamaana pamoja na kukusanya kodi zote hizo hawajaunganishwa kwenye mkongo wa taifa?.
Huu siyo uungwana jamani
unakwenda katika ofisi husika kwaajili ya huduma fulani.
unapewa account ukalipie bank, unarudi na risiti ya bank kuonyesha umeshalipia, lakini chaajabu hupati huduma ati kwasababu pesa hiyo hawaioni kwenye mtandano wao.Unaweza ukasota wiki nzima unafuatilia huduma ambayo umeshalipia lakini kwasababu hawaioni kwenye mtandao wao licha ya kuwa na risiti ya bank huwezi kupewa huduma hiyo.
Jambo lingine ni mtandao mbovu wa internet.Kila ukienda mara mtandao umekata, kero hizi hadi lini.Inamaana pamoja na kukusanya kodi zote hizo hawajaunganishwa kwenye mkongo wa taifa?.
Huu siyo uungwana jamani