Kero za wauzaji kutumia simu badala ya kuhudumia wateja

Kero za wauzaji kutumia simu badala ya kuhudumia wateja

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Kuna shops unaingia unamkuta huyo muuzaji anaongea na simu muda woooote styms hadi mteja unakereka unaamua kusepa zako.

Kuna wakati huwa najiuliza hivi hawa wanaofanya hivi ndio wamiliki wa hizi shops au ni waajiliwa maana mwajiliwa hata duka likipata hasara yeye hana cha kupoteza sana maana bado anaweza akaajiliwa duka la jirani

Kama hawa wanaofanya haya ndio wamiliki wenyewe basi bado tuna safari ndefu sana
 
Haijalishi ni wamiliki au lah, lakini wanakera Sana!!
 
  • Thanks
Reactions: I M
Mimi nliendaga duka moja pale makorora kwenye kona ya barabara ya mzingani nikawakuta wapo bize wanaangalia sinema zetu nikaondoka zangu sikununua tena
 
Mimi nliendaga duka moja pale makorora kwenye kona ya barabara ya mzingani nikawakuta wapo bize wanaangalia sinema zetu nikaondoka zangu sikununua tena
mm huwa najiuliza sana km wanaofanya ayo izo ni biashara zao au wamewekwa tu pale na masponsa wao? maana km kakuweka sponsa na anakutunza hautegemei mapato ya dukani yaendeshe maisha yao.
maana hana hata chembe ya wasiwasi kwa mteja kuondoka dukani kwake
 
Wengi ni waajiriwa tu.mmiliki wa biashara anathamini sana mteja.
 
mm huwa najiuliza sana km wanaofanya ayo izo ni biashara zao au wamewekwa tu pale na masponsa wao? maana km kakuweka sponsa na anakutunza hautegemei mapato ya dukani yaendeshe maisha yao.
maana hana hata chembe ya wasiwasi kwa mteja kuondoka dukani kwake
Ndo hvoo
 
Back
Top Bottom