Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
too much sauce!! umesoma heading vizur au mihemko ya chama chako ndio inakupeleka puta?MIMI NI CCM DAMU-----MIMI NI YANGA DAMU-----MIMI NI TANZANIA DAMU----MIMI NI TEAM MAGUFULI DAMU---- MIMI NASEMA KWA KAULI MOJA "MITANO TENA, KAZI IANZE"
Kufatwa inboxNi kero zipi unakumbana nazo kwenye magroup mbalimbali ya WhatsApp uliyopo Hadi unatamani ku left.
Kuawakuta wakenya wengiiii...alafu mda wote #rada #rada!Ni kero zipi unakumbana nazo kwenye magroup mbalimbali ya WhatsApp uliyopo Hadi unatamani ku left.
Kujikuta umeaadiwa magroup mengineNi kero zipi unakumbana nazo kwenye magroup mbalimbali ya WhatsApp uliyopo Hadi unatamani ku left.
Haha,Kuview status sikuoni
Group la msiba watu wanaleta utani [emoji204]Group la biashara watu wanaleta mambo ya siasa.
Group la siasa watu wanaleta mambo ya mapenzi.
Group la mapenzi watu wanaleta mambo ya ujenzi.
Group la ujenzi watu wanaleta mambo ya soka/kubeti.
Wale wanaotuma link za bofya hapa upate free 250 GB kwenye groups wanakera sana.Ni kero zipi unakumbana nazo kwenye magroup mbalimbali ya WhatsApp uliyopo Hadi unatamani ku left.