Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Kesho Kocha Nabi atuwekee Mayele na Musonda. Wingers wetu eg. Twisila ni matatizo. Nyuma yao acheze Aziz Ki kama yuko fit.
Mayele akicheza mwenyewe atuzurura tu uwanjan, nadhan mmeona game iliyopita, Mayele vs Monastr, Baleke vs Horoya, Bocco vs Raja 😂 Huku mabeki sio wa NBC Premier league kwamba wanachoma kila saa.
Formation za kutembea nazo 4-4-2 au 4-3-1-2. Ila hii Formation pendwa ya Nabi 4-2-3-1 kumuacha Mayele kama lone Striker HATUTOBOI. Mayele sio Mugalu
Dirisha lijalo tusajili WINGERS wa maana. Morrison ni mzuri ila nidhamu 0. Kesho angekuwepo angesaidia. Tuache siasa tulete watu, mambo ya Fei Toto yasitokee tena.
Mayele akicheza mwenyewe atuzurura tu uwanjan, nadhan mmeona game iliyopita, Mayele vs Monastr, Baleke vs Horoya, Bocco vs Raja 😂 Huku mabeki sio wa NBC Premier league kwamba wanachoma kila saa.
Formation za kutembea nazo 4-4-2 au 4-3-1-2. Ila hii Formation pendwa ya Nabi 4-2-3-1 kumuacha Mayele kama lone Striker HATUTOBOI. Mayele sio Mugalu
Dirisha lijalo tusajili WINGERS wa maana. Morrison ni mzuri ila nidhamu 0. Kesho angekuwepo angesaidia. Tuache siasa tulete watu, mambo ya Fei Toto yasitokee tena.