Kesho Maandamano Alhamisi 1, mambo yataka hamasa

Kesho Maandamano Alhamisi 1, mambo yataka hamasa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kesho ni siku ya kwanza kwa maandamano siku ya Alhamisi baada ya jumatatu iliyopita.

Stamina ni muhimu katika mapambano. Kwani kusikia kwa kenge hadi damu masikioni:

FsY9W2qX0AIeJk8.jpeg


Stamina, yaani uwezo wa kuendelea kukomaa bila ya kukata tamaa inajengwa na uhamasishaji usiokoma.

Jambo lolote haliwezi kupuuzwa. Kuwakatisha tamaa wafuasi kwa namna yoyote kunapaswa kuepukwa kama ukoma:



Hapo Eric Omondi mchekeshaji nguli wa huko anaendelea na kazi. Kwenye mkokoteni ana ma laki ya CV za wakenya akizipeleka ikulu ya Nairobi.

Ifahamike ikulu ni nyumba ya umma si nyumba ya mtu. Haupo uhalali wowote kumzuia mwingine kufika kwenye nyumba hiyo ya umma.

Ni kutokujitendea haki kulikopitiliza kudhani watu hawa ni wajinga, wasiojitambua au kuwa ni wenye kutumiwa.

Hapo ndipo ni vyema ngoswe akaachiwa mambo yake kuliko kujimwambafy kujaribu kumzodoa.

Screenshot_20230329-181406.jpg


Wanasema waswahili, kitanda usichokilalia huwezi kuujua ukali wa kunguni wake.
 
Nyie makamanda uchwara mbona da'Mange alipoitisha maandamano mlijichimbia uvunguni? Eti sasa mnajifanya kushadadia ya wenzenu.
 
Raila ameshaingiza baridi... Kashitukia saiv serikali iko kwenye mikono ya wahuni.

Ndio mwisho wake Sasa.. Riggy G ni zaidi ya shifter.. Na hapo bado kamanda in Tax ndio hustler mwenyewe. Hapo Raila ataopotea kimya kimya maana Hao jamaa ni vichwa vibovu haswaa
 
Raila ameshaingiza baridi... Kashitukia saiv serikali iko kwenye mikono ya wahuni.

Ndio mwisho wake Sasa.. Riggy G ni zaidi ya shifter.. Na hapo bado kamanda in Tax ndio hustler mwenyewe. Hapo Raila ataopotea kimya kimya maana Hao jamaa ni vichwa vibovu haswaa
Raila hakutishwa na Moi rigathi ndo atakua wa kumtisha [emoji23]
 
Raila hakutishwa na Moi rigathi ndo atakua wa kumtisha [emoji23]

Angalizo hili:

"Ni kutokujitendea haki kulikopitiliza kudhani watu hawa ni wajinga, wasiojitambua au kuwa ni wenye kutumiwa."

Halikuwa bure.
 
Back
Top Bottom