NingaR JF-Expert Member Joined Apr 15, 2012 Posts 2,759 Reaction score 591 Aug 14, 2012 #21 Victor Kisanga said: Vip kuhusu walokuwa selected na yenyewe watatoa kesho au? Click to expand... Mkuu haihitaji elimu ya chuo kuelewa hili, ukiona umo kwenye list ya ambao hawajachaguliwa jua tayari imekula kwako, ukiona haumo jua umechaguliwa.
Victor Kisanga said: Vip kuhusu walokuwa selected na yenyewe watatoa kesho au? Click to expand... Mkuu haihitaji elimu ya chuo kuelewa hili, ukiona umo kwenye list ya ambao hawajachaguliwa jua tayari imekula kwako, ukiona haumo jua umechaguliwa.
Msherwa JF-Expert Member Joined Aug 4, 2012 Posts 1,323 Reaction score 1,230 Aug 14, 2012 #22 kwan kuna chuo kilichotanganza selection zake?
NingaR JF-Expert Member Joined Apr 15, 2012 Posts 2,759 Reaction score 591 Aug 14, 2012 #23 Pokofame said: kwan kuna chuo kilichotanganza selection zake? Click to expand... Yap MUM ya MOROGORO imashatangaza
Pokofame said: kwan kuna chuo kilichotanganza selection zake? Click to expand... Yap MUM ya MOROGORO imashatangaza
M Msafiri Kasian JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 2,133 Reaction score 661 Aug 14, 2012 #24 Pokofame said: kwan kuna chuo kilichotanganza selection zake? Click to expand... Hakuna chuo kilichotangaza bali hata mwaka jana ilikuwa hivyo,kama jina lako halitatoka kwa ajili ya 2nd round,ujue ndo umeshachaguliwa.
Pokofame said: kwan kuna chuo kilichotanganza selection zake? Click to expand... Hakuna chuo kilichotangaza bali hata mwaka jana ilikuwa hivyo,kama jina lako halitatoka kwa ajili ya 2nd round,ujue ndo umeshachaguliwa.
G ginwe New Member Joined Aug 16, 2012 Posts 3 Reaction score 0 Aug 30, 2012 #25 kesho saa ngapi au ndo wazushi?kwani ni wale walio aplly 2nd round applction au vipi?:baby:mi sijaelewa tcu wanatakaje:rant:bac poa 2subiri hiyo kesho.
kesho saa ngapi au ndo wazushi?kwani ni wale walio aplly 2nd round applction au vipi?:baby:mi sijaelewa tcu wanatakaje:rant:bac poa 2subiri hiyo kesho.
K Kchibo Member Joined Oct 17, 2011 Posts 76 Reaction score 11 Aug 30, 2012 #26 Oya angalia kwanza tarehe ya hii post bana..
K Kchibo Member Joined Oct 17, 2011 Posts 76 Reaction score 11 Aug 30, 2012 #27 Oya angalia kwanza tarehe ya hii post bana, japo nahic haupo criaz coz coment yako imekaa kikatun flan hv..
Oya angalia kwanza tarehe ya hii post bana, japo nahic haupo criaz coz coment yako imekaa kikatun flan hv..
T Tempire New Member Joined Mar 1, 2013 Posts 2 Reaction score 0 Aug 1, 2013 #28 hy mambo zenu huko mliko ebwana