Vituo vyote vya afya unatakiwa kuingia ukiwa umevaa barakoaOk sikuwahi kuwaza hili mkuu Asante
Ha ha ha, hiyo ni lazima piga uaHapo kwenye Ngoma hapo
Umepaniki bro!....Sina uhakika mkuu vipi ni ya kwako?
Sina uhakika mkuu vipi ni ya kwako?
Na kuchoma Astra ZenecaJiandae kisaikolojia lazima upimwe ngoma