Kesho natimiza miezi 3, ya kufanya mzoezi bila kutumia vyuma vizito

pia usisahau kufanya yale mazoezi yanayoongeza nguvu za kiume.
 
Kwa nn umeacha kutumia vyuma vizito
Nliacha sababu kubwa nakosa mda,, ukitoka job unahitaji kupumzika,, alafu pia inahitaji kwenda kwa washkaji ambao wanavyo,, au kwenda gym

Lakini kuubeba mwili wako ni very simple,, hapo hapo chumbani au sebule inatosha hasa mida ya alfajiri,,, then unapga maji unaendelea na mishe zingine
 
Mi nataka nianze tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…