Kesho ndo kesho Lakezone derby

Rockcity native

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
2,174
Reaction score
1,445
Kati ya toto africans ya mwanza na mwadui ya shinyanga ndani ya uwanja wa kirumba
 
maskin ToTo timu yangu ya mkoa sijui kama tutamek mwaka huu
 
Kurudi kwa Toto Africa ni huzuni kwa Simba,
nitafurahi sana simba wafungwe mechi zote na Toto Africa
 
Labda siyo mwadui ya julio mtakaa kweupeeee....na stand anakuja kujitwalia point zake tatu

julio anajua balaa la toto toka mwaka juzi na mwaka jana daraja la kwanza mwadui hajawai mfunga Toto hapa kirumba... Halafu jana julio kaloga sana mazoezini uwanjani kirumba
 
julio anajua balaa la toto toka mwaka juzi na mwaka jana daraja la kwanza mwadui hajawai mfunga Toto hapa kirumba... Halafu jana julio kaloga sana mazoezini uwanjani kirumba

Ha ha ha ila kwa sababu julio simba wacha wafungwe tu hao mwadui
 
Naichukia timu yoyote inayonolewa na Julio,
Toto africa hebu nipigie hao Mwadui goli za kutosha.
 
Naichukia timu yoyote inayonolewa na Julio,
Toto africa hebu nipigie hao Mwadui goli za kutosha.

Mbaya zaidi mdomo wa julio mchafu...sidhani kama ndo anautumia kula mayai
 
Mkuu Maziku Masunga Jr.: Mwadui ni timu ya nyumbani kabisaaa! naikuchukia kwa sababu ya uwepo wa Julio, akiondoka nitaipenda. Hivi sasa nitaendelea kushabikia Young Africans, Toto Africans, African Sports na Stand United.
Hizo timu zako mwaka huu lazima Simba azikalishe nyumbani na ugenini, hahahhaha tayari pointi 24 kibindoni(natamani iwe kweli).
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…