Kesho tarehe 21/08/2013, kamanda mbowe na timu yake watakua tukuyu-mbeya ktk viwanja vya tandale.

Tky

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
439
Reaction score
140
Salam wanajamv, wakaz wa Tukuyu mjni wilaya ya Rungwe munaarifiwa kuwa kesho Tarehe 21/08/2013. Kutakua na mkutano mkubwa wa CHAMA CHA DEMOKRASIA CHADEMA, Ktk viwanja vya Tandale-Tukuyu mjini, kuanzia saa nane mchana, nitajitahidi kuwapa updates na picha.
 
Nadhani bado mawasiliano hayajawa vizuri: kesho muda huo atakuwa Sumbawanga Mjini: chopa inafanyiwa matengenezo madogo PALE KIGOMA kwa sasa. kwa hiyo ratiba imeingiliana kiasi. Jaribu kupata habari ya Uhakika zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…