Kesho tarehe 22 Agosti, 2021 tutamtembelea Mbowe na wengine wanaoshikiliwa Gereza la Ukonga na tutasali pamoja

Kesho tarehe 22 Agosti, 2021 tutamtembelea Mbowe na wengine wanaoshikiliwa Gereza la Ukonga na tutasali pamoja

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Bwana Yesu apewe sifa!

Itakuwa ni safari ya kitume ambapo wagonjwa na wenye shida mbalimbali waliopo gerezani tutawaombea.

Kwa pamoja tutamwomba Mungu awape wepesi katika mitihani wanayoipitia kwa sasa.

Hili ni agizo la Yesu kwamba tukiyatenda haya kwa waliopo majaribuni basi twamtendea Yesu mwenyewe.

Katiba ya JMT inaruhusu hili.

Mungu ni mwema wakati wote.
 
Wana CCM wenzako watakutenga!! hukumbuki yaliyomtokea mo baada ya kumusadia Tundu baada ya kupigwa rusasi?? utaonekana unaenda kinyume na matakwa ya mwenyekiti wako.
 
Mbona wanaofanya hivyo makanisani wamakuwa wakikamatwa hivi karibuni,je huko magerezani hakuna kukamatana,au mkamataji wa makanisani ni tofauti na mkamataji wa magerezani?Ingependeza kama John ungelitolea ufafanuzi.
 
Mbona wanaofanya hivyo makanisani wamakuwa wakikamatwa hivi karibuni,je huko magerezani hakuna kukamatana,au mkamataji wa makanisani ni tofauti na mkamataji wa magerezani?Ingependeza kama John ungelitolea ufafanuzi.
Walichokosea wale Bavicha ni kuvaa sare za chama!
 
Bwana Yesu apewe sifa!

Itakuwa ni safari ya kitume ambapo wagonjwa na wenye shida mbalimbali waliopo gerezani tutawaombea.
Kwa pamoja tutamwomba Mungu awape wepesi katika mitihani wanayoipitia kwa sasa.

Hili ni agizo la Yesu kwamba tukiyatenda haya kwa waliopo majaribuni basi twamtendea Yesu mwenyewe.

Katiba ya JMT inaruhusu hili.

Mungu ni mwema wakati wote.

Huo ndio utumishi YohanneMbatizaji
 
Amina mpendwa!

Mwambie kaka Mbowe hivi

"Autafute kwanza ufalme wa Mungu na mengine yote atazidishiwa"

Walioutafuta kwanza ufalme wa Mungu popote walizidishiwa mengine kwani tumeuona;
.Ukimtoa Yusufu gerezani
.Ukiwangulia Paulo na Sila milango ya gereza
.Ukimwokoa Daniel kweye Tundu la simba
.Ukiwaokoa Meshack, Shedrack na Abednego kwenye moto
 
Mwambie kaka Mbowe hivi

"Autafute kwanza ufalme wa Mungu na mengine yote atazidishiwa"

Walioutafuta kwanza ufalme wa Mungu popote walizidishiwa mengine kwani tumeuona;
.Ukimtoa Yusufu gerezani
.Ukiwangulia Paulo na Sila milango ya gereza
.Ukimwokoa Daniel kweye Tundu la simba
.Ukiwaokoa Meshack, Shedrack na Abednego kwenye moto
Amina mtumishi!
 
Mwambie kaka Mbowe hivi

"Autafute kwanza ufalme wa Mungu na mengine yote atazidishiwa"

Walioutafuta kwanza ufalme wa Mungu popote walizidishiwa mengine kwani tumeuona;
.Ukimtoa Yusufu gerezani
.Ukiwangulia Paulo na Sila milango ya gereza
.Ukimwokoa Daniel kweye Tundu la simba
.Ukiwaokoa Meshack, Shedrack na Abednego kwenye moto
Nesi mshahara umepanda....
 
Back
Top Bottom