Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mkuu nadhani jioni ndo utazungumziaKesho asubuhi kuna tamasha kubwa litafanyika taifa .
Msikose kiingilio bure
Mgeni rasmi ni Mh majaliwa na Ali hasani mwinyi
Wasanii watakuwepo
Kama vile wcb ali kiba ,wasanii wa singeli,wasanii wa bongo muvi wakiongoza na jb.
Mkuu hili la kuhusu chakula ni lakweli?Kutakuwa na chakula cha bure
Tamasha la usalama barabaraniNi tamasha la nini?
NdiyoMkuu hili la kuhusu chakula ni lakweli?
-Ndumilakuwili-
Karibu uwanja wa taifa .
una nyege?Ban yako ya miaka mitano imeiahaa au umetoa rushwaa