Maamandamamo na migomo haitaisha TZ. bado wafanyakazi wanakuja. Tusubiri Dowans walipwe. Nchi itawaka moto.
Naona uyu jamaa ajui kuongoza make bora enzi za mwl. Wameisha fika watu kama 10 ambao wameisha kufa (udom,arusha,mbea amekufa1 leo) ebu tusubiri udsm watakufa wangapi make uhu ni udekiteita aswa.
tahadhari kwa police. msiwaue na hawa. kuna mtoto wangu pale na yeye ndo atakua mstari wa mbele. akifa tu na we jirani yangu nakumaliza. nimetoka jana rwanda nimesheheni mzigo wa kutosha tu.
Ngugu zangu vita ni all fronts, wkt unapambana na serikali pambana pia na maisha kutafuta pesa. Aim high to send your son/daughter in USA/UK/ZA Universities. When you aim at the Sun you will fall on the Moon, I believe!
pale UDSM lambalamba nyingi, uondozi wa wanfunzi na uongozi wa chuo kila moja anafanya lake kwa faida yake anayo ijua yeye.
najua na nimeexperince 1999,2001.