Wana JF,
Tusaidiane katika hili. Katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika mwezi uliopita wenzetu walishinda kwa kuchakachua kwani mambo mengi yalikiukwa.
Tumefungua kesi mahakamani na nakala yakuitwa kortini wameshapokea. Kesi itatajwa tarehe 08.02.2015.
Sasa wameitisha kikao cha mtaa jumapili 01.01.205. Je hii ni sahihi? Twende polisi kutoa taarifa ya kupinga hiki kikao?
Tusaidiane katika hili. Katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika mwezi uliopita wenzetu walishinda kwa kuchakachua kwani mambo mengi yalikiukwa.
Tumefungua kesi mahakamani na nakala yakuitwa kortini wameshapokea. Kesi itatajwa tarehe 08.02.2015.
Sasa wameitisha kikao cha mtaa jumapili 01.01.205. Je hii ni sahihi? Twende polisi kutoa taarifa ya kupinga hiki kikao?