johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tunakumbushana tu,
Kwahiyo Kesi iliyofunguliwa na akina Halima Mdee na wenzake imekosa "hadhi" ya kisheria.
Kimsingi Halima Mdee na wenzake wanakubali kuwa Wamevuliwa uanachama LAKINI isivyo halali.
Wanachopigania ni kurejeshewa uanachama wao kama yule Baraka Shamte wa CCM kule Zanzibar.
Mungu ni mwema wakati wote.
Kwahiyo Kesi iliyofunguliwa na akina Halima Mdee na wenzake imekosa "hadhi" ya kisheria.
Kimsingi Halima Mdee na wenzake wanakubali kuwa Wamevuliwa uanachama LAKINI isivyo halali.
Wanachopigania ni kurejeshewa uanachama wao kama yule Baraka Shamte wa CCM kule Zanzibar.
Mungu ni mwema wakati wote.