real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
KENYA: Kesi mbili zimefunguliwa kuupinga ushindi wa Uhuru Kenyatta kwenye uchaguzi wa marudio.
Kesi moja imefunguliwa na muungano wa vikundi vya kutetea haki za raia wa Kura Yangu Sauti Yangu na nyingine imefunguliwa na mbunge mstaafu Harun Mwau
Waliopinga wanadai uchaguzi huo ulikiuka misingi ya kikatiba kwa kuwa wagombea hawakupitishwa upya na vyama vyao
Pia tume kuwaweka wagombea siku chache kabla ya uchaguzi kufanyika ilikuwa ni makosa kwa kuwa hawakupata muda wa kutoshakufanya kampeni
Kesi moja imefunguliwa na muungano wa vikundi vya kutetea haki za raia wa Kura Yangu Sauti Yangu na nyingine imefunguliwa na mbunge mstaafu Harun Mwau
Waliopinga wanadai uchaguzi huo ulikiuka misingi ya kikatiba kwa kuwa wagombea hawakupitishwa upya na vyama vyao
Pia tume kuwaweka wagombea siku chache kabla ya uchaguzi kufanyika ilikuwa ni makosa kwa kuwa hawakupata muda wa kutoshakufanya kampeni