real G JF-Expert Member Joined Feb 7, 2013 Posts 5,227 Reaction score 5,299 Nov 7, 2017 #1 KENYA: Kesi mbili zimefunguliwa kuupinga ushindi wa Uhuru Kenyatta kwenye uchaguzi wa marudio. Kesi moja imefunguliwa na muungano wa vikundi vya kutetea haki za raia wa Kura Yangu Sauti Yangu na nyingine imefunguliwa na mbunge mstaafu Harun Mwau Waliopinga wanadai uchaguzi huo ulikiuka misingi ya kikatiba kwa kuwa wagombea hawakupitishwa upya na vyama vyao Pia tume kuwaweka wagombea siku chache kabla ya uchaguzi kufanyika ilikuwa ni makosa kwa kuwa hawakupata muda wa kutoshakufanya kampeni
KENYA: Kesi mbili zimefunguliwa kuupinga ushindi wa Uhuru Kenyatta kwenye uchaguzi wa marudio. Kesi moja imefunguliwa na muungano wa vikundi vya kutetea haki za raia wa Kura Yangu Sauti Yangu na nyingine imefunguliwa na mbunge mstaafu Harun Mwau Waliopinga wanadai uchaguzi huo ulikiuka misingi ya kikatiba kwa kuwa wagombea hawakupitishwa upya na vyama vyao Pia tume kuwaweka wagombea siku chache kabla ya uchaguzi kufanyika ilikuwa ni makosa kwa kuwa hawakupata muda wa kutoshakufanya kampeni
K kabombe JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 26,153 Reaction score 18,740 Nov 7, 2017 #2 Ngoma inogile