Kesi No. 31 ya mwaka 2018 , Zitto Kabwe, Salim Bimani na Joran Bashange

Kesi No. 31 ya mwaka 2018 , Zitto Kabwe, Salim Bimani na Joran Bashange

Mtetezi_Paul_Kisabo

New Member
Joined
Jan 3, 2019
Posts
4
Reaction score
1
Mahakama kuu ya Tanzania masijala ya DSM imeahirisha kesi No. 31 ya mwaka 2018 ,Zitto Kabwe, Salim Bimani na Joran Bashange dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali hadi sa nane leo 04.01.2019 ambapo itatoa ruling. Wakili wa serikali aliomba kuongezewa muda wa siku 21 kinyume na kanuni (BRADEA RULES 2014, ambazo zinasema muda wa siku 14 tu unaweza kuongezwa ili kuwasilisha utetezi wao lakini wakili upande wa petitioners waliomba wapewe siku chache zaidi sababu muswada utawasilishwa bungeni tar 15 Jan 2019 hivyo ili kuzuia muswada kupelekwa bungeni mahakama imeombwa kutoa muda mchache zaidi, na endapo Siku 14 zitatolewa basi mahakama imeombwa kutoa zuio kwa mwanasheria mkuu wa serikali kupeleka muswada huo bungeni sababu serikali ndiyo inayomiliki muswada, kwa hoja hizi na nyingine zilizotolewa mahakamani ndipo mahakama kuu imesema sa nane kamili itatoa maamuzi.

[emoji2398] Paul Kisabo
04.01.2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee..kumbe! Mambo ya sheria haya.
 
Back
Top Bottom