Kesi inayowakabiri wanafunzi watatu Christopher Mbusule, Wilfred Bocasa na Benny Solo itasikiliywa tena kesho kwenye mahakama ya hakimu mkazi kisutu mbele ya hakimu Walyarwanda Lema,Mwendesha mashitaka-Kweka na wakili mahiri Prof.Abdallah Safari. Kesi hii inakuja kufuatia maandamano ya kudai mwaka wa kwanza hasa wanaotoka familia duni kupewa mkopo, mapema mwezi wa kwanza mwaka jana...