Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tutaanza na bibi ushungiulevi wa madaraka kwa miaka 60 ndo unaitia kiburi ccm bt kwa yanayoendelea huu ulevi unaelekea kutia nanga na hapo ndo vigogo wa ccm watabaki kuhaha kukimbia nchi na wengine kuishia magerezani.
Yeah, hizo kinga za kutoshtakiwa kuna siku zitawatokea puani, wanadhani ccm itatawala milele? waendelee tu kujidanganya bt muda utawapa majibu.Tutaanza na bibi ushungi
Hawataki wao kushitakiwa lakini wanataka wawashitaki wengineyeah, hizo kinga za kutoshtakiwa kuna siku zitawatokea puani, wanadhani ccm itatawala milele? waendelee tu kujidanganya bt muda utawapa majibu.
kaka, hii kesi ina manufaa kwa CCM mwendazake - tatizo maza anataka kurithi kila kitu hadi matatizo binafsi ya marehemu kitu ambacho ni kosa kubwa kibinadamu hata katika ulimwengu wa kiroho.Wana CCM mliopo mtandaoni.
Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.
Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.
Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?
Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!
CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
Mbowe ni janja sana kuplay victim of current political climate ukijumlisha na shuhuda za mashahidi na watuhumiwa ndio kabisa wanaivua nguo system ie CCM/SerikaliWengi wanajua km Mbowe anafadhaika SANA kuwa gerezani, lkn ukweli ni kwamba Mbowe anafurahia sana kuwa gerezani kuliko kuwa mtaani aki organize masuala ya katiba mpya.
Mbowe hapo anafanya siasa ki sayansi sana kwa gharama kubwa ya CCM
Hawa nafikiri ipo siku watakua mbele ya ICC, ni swala la mdaGudulake
Mahita
J4
Kingae
Aziz
CCM Hawa ndo wamempa point Mbowe pamoja na Cro
Kama kuna watu hawana akili nchi hii ni Usalama wa Taifa waliopandikizwa ndani ya CCM. Hawa ndio Mainjinia wa hii kesi uchwara. Mnawaona kina Kingai na Jumanne ni Punda tu wabeba mizigo na kama mnavyowaona wamelemewa na Sasa la lawama zote ziko juu Yao kumbe waanzilishi wa Msala wako pembeni.Wana CCM mliopo mtandaoni.
Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.
Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.
Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?
Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!
CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
NakubaliKama kuna watu hawana akili nchi hii ni Usalama wa Taifa waliopandikizwa ndani ya CCM. Hawa ndio Mainjinia wa hii kesi uchwara. Mnawaona kina Kingai na Jumanne ni Punda tu wabeba mizigo na kama mnavyowaona wamelemewa na Sasa la lawama zote ziko juu Yao kumbe waanzilishi wa Msala wako pembeni.
Umeongea vizuri nimekuunga mkono sanakaka, hii kesi ina manufaa kwa CCM mwendazake - tatizo maza anataka kurithi kila kitu hadi matatizo binafsi ya marehemu kitu ambacho ni kosa kubwa kibinadamu hata katika ulimwengu wa kiroho.
Maza apewa ushauri huu muhimu, kama marehemu alikuwa hampendi A, B, C D basi ni yeye na wala asitake sisi wana CCM wote tuendelee kuyaachukia ambayo yeye aliyona hayamfani wakati yeye hayupo duniani na hawezi kurudi tena.
Hata kama marehemu aliapa kutotoa katiba mpya basi ni yeye, sasa kwani sisi tulibaki hapa duniani tukisema katiba mpya ni ajenda yetu leo ni kosa ? arudi basi kama ana uwezo huo.
Narudia tena, maza ashauriwe - adui wa mtangulizi wako si wa kwako, principal ya maisha ni kwamba tengeneza marafikio wengi kuliko maadui.
Nitamweshimu wana CCM YEYOTE atayetamka kwamba katiba mpya ni ajenda yetu ya leo, regardless !!
Yap na NdugaiNdio wenye huu mchongo?
Kuna Baba lao juu ya hawa
CCM inahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?Wana CCM mliopo mtandaoni.
Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.
Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.
Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?
Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!
CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
Hii kesi imesaidia katika vita vya kiuchumi dhidi ya mabeberu wa bunge la ulaya.Tutapigana naoWana CCM mliopo mtandaoni.
Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.
Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.
Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?
Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!
CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
Hii kesi imekuja na faida nyingi kwa watanzania hasa wapenda haki. Imesaidia wasiojulikana wako wazi.Wana CCM mliopo mtandaoni.
Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.
Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.
Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?
Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!
CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!