Kesi ya akina Mbowe ina manufaa gani kwetu CCM, mbona haitupi any political mileage?

Mkuu Hatutaki Katiba Mpya!; Tunataka Mkutano wa Katiba!
Ukisema Katiba mpya bunge hili linaweza likakaa hata leo Wakafanya ya kufanya kisha wakasema Katiba mpya mlio itaka hiyo hapo!
 
Bora umeona. Inasababisha hata mimi ninaichukia mno CCM kwa sasa! Basi tu huwa sio muumini wa kuhama hama!
 
CCM inapata unachotaka kupitia TISS na Polisi, Hilo ndo sanduku lao la kura. Sanduku la kura halisi, CCM wanaliogopa Kama ukoma.
 
Mbowe anastahili umaarufu alio nao, anaijua siasa vizuri sana na ni muumini halisi wa katiba na utawala wa sheria.
 
Hii kesi imenifanya kutowaelewa viongozi wangu. Kwani wamemwongezea Mbowe umarufu zaidi na sasa mbowe kufungwa au kutofungwa limeshakuwa ni ushindi kwa Mbowe
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€” So you're trying to tell us that it has no merit at all (meaning ni ya KUBUMBA) and that's why it's backfiring as there're things that shouldn't have been exposed to the public. Or I'm missing a point from you !!!
 
Yaani hadi unaona aibu kujiona mCCM
Ukitaka kujua CCM haina imepoteza ushawishi, nenda huko ngorongoro kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo hilo kampeni zilivyododa. Baada ya wapinzani kususia hasa cdm, CCM imebaki na vyama vyake vya mfukoni wakifanya kampeni choka mbaya. Sasa kama mpaka Wamasai wameshtuka nani kabaki?
 
Wewe ndio wale tunawaita CCM limbukeni

Sasa nitoke niende wapi? Huko kwenu nako hamueleweki njaa inawasumbua sana

Kimsingi hakuna anayekutaka huku upinzani maana utaleta mawazo ya kizee yaliyofeli huko ccm. Ww baki huko huko ili usaidie kuwaambia wenzako kuwa CCM sio chama cha kizazi hiki, hivyo kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti ni kukaribisha machafuko. Sasa hivi mmeachiwa mshiriki peke yenu chaguzi na vile vyama vyenu pandikizi lakini hamna ushawishi tena, na idadi yenu halisi ya wapiga kura inajionyesha.
 
Sawa
 
Jitafakalini wanaccm hapo mlipofika pamewatosha tulishawaambia kuwa Mbowe sio gaidi nanyi mmekazana kuleta ushahidi,hii kesi itawaumbua huko mwisho wa safari I furahieni kwakuwa jaji anapokea maelekezo na mungu huwa hawaachi watesi wanaodhurumiwa haki zao,Kama kiss Ni siasa muingie uwanja wa fisi kutokana kihoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…