Kesi ya Babu Seya haiwezi kukatiwa Rufaa, Mahakama iliyotoa maamuzi ni ya MWISHO hakuna nyingine tena, Labda aiombe mahakama hiyo hiyo ipitie uamuzi wake tena, wanaita REVIEW.wala Rais haruhusiwi na sheria kumpa Babu Seya msamaha! Atafia jela labda atoroke!