We nadhan ulikua bado uko usingizini. Mpaka Kikwete anaingia madarakani babu seya ashahujumiwa tayari.Sio kweli 2004 ndio alikamatwa 2006 ndio alifungwa maisha ila ile kesi INA mkono wa mtu haikuwa huru kabisa ila nyie mahakimu Mungu anawaona!
Mwezi March mwaka 2011, aliyekuwa mtabiri maarufu Afrika Mashariki na Kati Marehemu Sheikh Yahya Hussein alitabiri kuwa mwaka huo kuna mtu maarufu nchini angefariki dunia. Miezi miwili baadae akafariki yeye. Unaelewa nini?Ya lema ni upumbavu wake
Seya nimakosa yakibinadamu
We we ndio hujui Mimi hukumu yake ninayo IPO kwenye tablet na hata Papy Kocha nishawahi kumsalimia gerezani! Kama alifungwa 2004 alishikwa lini na kesi iliendeshwa muda gani?We nadhan ulikua bado uko usingizini. Mpaka Kikwete anaingia madarakani babu seya ashahujumiwa tayari.
Hata ww kushabikia chadema ni upumbafu wako mwenyeweHata wewe kushabikia ccm ni upumbavu wako mweyewe
ukisema ya lema ni upumbavu nadhani hata ya kwako ni ya kipumbavu piqYa lema ni upumbavu wake
Seya nimakosa yakibinadamu
Na uchizi wake.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hata wewe kushabikia ccm ni upumbavu wako mweyewe
HahahahaKwako naona, hata Nyerere alifariki kipindi cha Mwinyi.
HNyie watu mlioanza kufuatilia siasa juzi kati mnatusumbua sana.....ebu kaulize kwa wakubwa zako babu seya alifungwa enzi ya utawala wa nani
Yawezekana mtoa mada hajaijua vizuri historia ya nchi yetuYes babu seya kafungwa 2004 wakati wa utawala wa rais mkapa
Ujinga upi ukiambiwa utoe maelezo au ushabiki tu unakusumbua !!Lema upuuz wake umepmonza
Hee mapya hayaBabu Seya yupo kwao Congo nyie endeleeni kupiga soga!