Yupo Ukonga tena ni nyaparaBabu Seya yupo kwao Congo nyie endeleeni kupiga soga!
Nakusihi ili ujue ukweli wa yaliotokea hadi hao wapendwa wetu wakashindwa rufaa zao zote kafanye utafiti wale watoto wapo, wazazi wao wapo na hata waalimu wa mugabe primary school bado wapo wasiliana nao ili ujiridhishe na ukweli wa yaliotokea!mimi kwangu namchukulia msamaha walio uomba mbele ya aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Chikawe kwamba akawaombee kwa raisi kwamba kwa miaka waliyokaa ndani wameshajifunza vya kutosha! Kwa hiyo wameomba raisi awape msamaha na hawatarudia tena!mwisho wakunukuuBABU SEYA ALIONEWA WIVU, AKABAMBIKWA KESI YEYE NA WANAWE.
Kwangu mimi kama binadamu ninaye jali utu wa mtu, babu Seya na Mwane Papii kocha waling'aa sana kwenye tasnia ya mziki na wakaanza kuonewa gere, ndipo mbinu chafu zilipo sukwa kiufundi ilikumpoteza kwenye anga na soko la mziki Tanzania. Na ndio maana watoto wengine waliachwa huru wakabaki wawili hasawale wenye nyota ya uimbaji.
Hii michezo ya kuoneana gere na kudhalilisha utu wa mtu tena kizazi chote ni fedheha kwa Taifa, ndio maana huwa na sema kesi nyingi ni za kupachika na hasa zinatengenezwa ili kuua vipaji vya watu. Wasanii wanajua mchezo wote ila hawawezi kuuusema ukweli maana wanaogopa na wamegawanyika makundi mawili. Wengine ooh alitembea na demu wa kigogo, wenye ukweli wako kimya.
Tangu lini kukawa na kesi ya kulawiti tena watoto wenyewe wanashindwa hata kueleza ukweli, waliona hiyo ndio njia ya kumuangusha Nguza vicking. Leo imekuwa tabia mtu akiibuka na kung'aa kwenye tasnia yoyote ana bambikwa kesi ya kubaka au kulawiti au jambazi au Gaidi ili mradi kumuangushia gemu lake ambalo Mungu ana mwinua...Basi nikaamuka kutoka ndotoni, tafazali anayweza kutafsiri hii ndoto anisaidie kukoment.
Unaongeza tu contradictions. Shule iliyotajwa kwenye kesi sio Mugabe bali Mashujaa...Nakusihi ili ujue ukweli wa yaliotokea hadi hao wapendwa wetu wakashindwa rufaa zao zote kafanye utafiti wale watoto wapo, wazazi wao wapo na hata waalimu wa mugabe primary school bado wapo wasiliana nao ili ujiridhishe na ukweli wa yaliotokea!mimi kwangu namchukulia msamaha walio uomba mbele ya aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Mh Chikawe kwamba akawaombee kwa raisi kwamba kwa miaka waliyokaa ndani wameshajifunza vya kutosha! Kwa hiyo wameomba raisi awape msamaha na hawatarudia tena!mwisho wakunukuu
Sina hakika kama issue ya Mzee Nguza Viking na wanae iliwahi kukatwa hapa, by then ilipokuwa hot nilikua sija join JF. Kwanza kabisa lazima niseme kwamba sifagilii kabisa vitendo vichafu vya aina yoyote ile kwa watoto na kama kweli walifanya hayo wanayotuhumiwa kufanya- they deserve to rot in jail.
Wikiend hii nilibahatika kukutana na mtu ambaye alitoa ushahidi kwenye hii kesi (Mwanamuziki na rafiki wa karibu wa Papii) na my feelings kwamba hawa jamaa walikua stitched up zimezidi kukua.Baadhi ya mambo aliyoniambia ni pamoja na kwamba baadhi ya tarehe na saa ambazo Papii anatuhumiwa kushiriki kwenye huo ufirauni- hakuwepo kabisa jijini Dar na hata pale alipokuwepo Dar, alikua yuko jukwaani akifanya kile anachopenda kufanya.Jambo jingine la kushangaza pia ni usiri mkubwa wa jinsi ambavyo kesi hiyo iliendeshwa, na chanzo changu cha habari kinaamini kwamba kwa sababu hii ushahidi mkubwa na wa maana umetiwa kapuni.Hadi leo huyu jamaa anamtembelea Papii gerezani na anasema huwa anagoma kula kwa siku kadhaa na kushinda akilia tu, anatamani afe kuliko kuendelea kuishi na machungu ya uonevu aliofanyiwa yeye pamoja na nduguze.
Nimesikia mengi kuhusu hii kesi- ambalo ni common kwa wengi ni kwamba Mzee Nguza aliingia anga fulani za Waziri mmoja wa serekali ya sasa na waziri huyo aliahidi kumkomesha- yeye pamoja na familia yake.Kuna baadhi wanasema sio Waziri ni Balozi fulani. Kwa jinsi nionavyo mimi, inawezekana labda watoto wakafanya kitu kama hiki peke yao bila baba yao and the vice versa is possible.Lakini kweli inaingia akilini kwa mzee mzima wa kiafrika kufanya huo upuuzi mbele ya wanae huku wakipokezana tena kwa kitoto kidogo?
Rumours zimekua nyingi kwenye hii kesi - kuna yeyote anayeujua ukweli wa hii kesi? I understand kwamba hawa jamaa walikata rufaa na ikatupwa, is there any other way anyone can help them?
Hapo umeongea kitu kikaniingia akilini.sijui nitawasaidiaje jamaa hawa.ANGALIZO : katika hali aliyo nayo Nguza Viking anaweza kumuita rais jina lolote...anaweza hata kumuita ni mwakilishi wa mungu hapa duniani.so tusimhukumu kutokana na maneno aliyotumia au rais aliyemwandikia. jukwaa hili ni la Intelejensia tuangalie mambo haya ki intelejensia zaidi tuweke emotions zetu pembeni.
Miaka hiyo kesi hii imetokea asilimia kubwa ya wanajamii forum walikuwa wadogo au watoto. lakini ni moja ya kesi ambazo zilikuwa gumzo kutokana na mhusika mwenyewe kuwa alikuwa akifahamika na pia suala la kuhusishwa yeye na familia yake nzima na kitendo cha ubakaji watoto.
ni mengi ambayo yalikuwa yakisemwa kuhusiana na mwanamuzi huku Nguza Viking au maarufu kwa jina la Babu Seya na watoto wake watatu. iliwasha maskioni mwa watu, watu walizungumza kila walilozungumza. kwa wazazi waliokuwa na watoto waliumizwa sana na kesi hii wakichukizwa na kitendo cha kikatili ambacho ilisemekana kilifanywa na Familia hii ya Nguza Viking.
inasemekana kuwa yeye na familia yake walikuwa wakiwabaka/lawiti watoto wadogo. hapa kulikuwa na maswali mengi sana kwa mzazi kufanya kitendo hiki akishikirikiana na watoto wake watatu.ilileta ukakasi sana. na hivyo akajikuta yeye na watoto wake watatu wakihukumiwa kifungo cha maisha.
ukiwaza unaweza sema kama walikuwa wakifanya kitendo hicho basi walifanya hivyo wakiwa chini ya influence ya kitu flan..landa ni ulevi au iman za kishirikina. sababu katika hali ya kawaida ni ngumu sana. lakini yalitokea hayo mambo hayo kwa mujibu wa mahakama. miaka mingi imepita Nguza Viking alionekana ni mtu ambaye hakuridhika na kesi au hukumu ile. na mara nyingi amekuw aakijaribu kukata rufaa na mwishowe angalau alipata faraja ya watoto wake wawili kuachiwa baada ya kuonekana hawakuwa na hatia. ila yeye na mwanawe mmoja walirudishwa tena ndani.
bado mpaka leo hii Nguza Viking anaonekana ni mtu ambaye hakuwah kukubaliana na ile hukumu au kesi. na kumekuwa na mingo'ono mingi sana kuhusiana na ile kesi.wengine wakisema kuwa ilikuwa ni adhabu baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mmoja aliyekuwa akitembea na kigogo mmoja.ikaonekana apewe adhabu hiyo.
suala hili kwa kifupi lilizungumzwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 mgombea mmoja alidokeza tu kifupi kuwa angemtoa babu seya gerezani. watu wengi hawakuataka kufuatilia kwa nini aseme vile mtu ambaye alikuwa huko nyuma kwenye serikali? je alikuwa na siri gani kuhusiana na kufungwa kwa familia hii ambayo hakuweka wazi?
ni kwanini waandishi hawakutaka kumuuliza kwa nini amtoe babu seya wakati mahakama ilikuwa imemhukumu kuwa ni mkosa?watu hawakutaka kuangalia zaidi.hawakutaka kwenda mbali zaidi waliishii sana sana kukebehi na kusahau kuwa huyu mtu ikiwa kweli alikuwa hana makosa alistahili kupewa haki ya kuishi huru.
katika nchi zeu za kiafrika (sijasema tanzania) wakati mwingine siasa zimekuwa zikitumika vibaya sana na nguvu za kisiasa zimekuwa zikitumika kwa maslah binafsi. lakini tumekuwa wasahaulifu sana. kawaida watuhumiwa wengi baada ya kuhukumiwa huwa wanajua maisha yao yameishia pale. lakini kwa nini mpaka leo nguza viking anaamini hajaetendewa haki na kuomba rais aingilie kati?ni kwanini?tumewah kujiuliza jambo hilo?au ni kwa kuwa sisi tupo huru hatujui waliofungwa wana hali gani?mimi sikatai kama ana makosa basi apate adhabu stahili. kuna wafungwa wangapi ndani ambao pamoja na kuwa walikana mashtaka lakini walipofungwa wakakubaliana na ukweli kuwa walikosea?
nimeiona barua inayosemekana kuwa imetoka kwa nguza viking. nimeisoma... concern yangu ni je ni kweli alikosa? je kama hakukosa ilikuaje? je kwa nini anadhani amejifunza kutokana na makosa? je kuna uwezekano kama kweli alikosea rais akamsamehe?au kama hakukosa kesi yake ikasikilizwa tena kwa kutumia mahakimu na mawakili wengine?
mimi sijui. bado kuna siri au ukweli flan ambao hatukuwah kuupata katika kesi hii. tusiangalie sana alichokiandika.katika hali aliyo nayo anaweza kumuita rais jina lolote..anaweza hata kumuita ni mwakilishi wa mungu hapa duniani.so tusimhukumu kutokana na maneno aliyotumia au rais aliyemwandikia. jukwa hili ni la Intelejensia tuangalie mambo haya ki intelejensia zaidi tuweke emotions zetu pembeni.
Mzee wako ni Police? Tafadhali mwambie RAIA wanahasira sana na wao ni vile tu wanakautamaduni kauoga!baba angu alishiriki katika upelelezi wa hii kesi.anasema ktk interrogation na watuhumiwa walikiri kuhusika..anawashangaa watu wanavolichukulia hili swali kisiasa.
Aiseeeeee...ANGALIZO : katika hali aliyo nayo Nguza Viking anaweza kumuita rais jina lolote...anaweza hata kumuita ni mwakilishi wa mungu hapa duniani.so tusimhukumu kutokana na maneno aliyotumia au rais aliyemwandikia. jukwaa hili ni la Intelejensia tuangalie mambo haya ki intelejensia zaidi tuweke emotions zetu pembeni.
Miaka hiyo kesi hii imetokea asilimia kubwa ya wanajamii forum walikuwa wadogo au watoto. lakini ni moja ya kesi ambazo zilikuwa gumzo kutokana na mhusika mwenyewe kuwa alikuwa akifahamika na pia suala la kuhusishwa yeye na familia yake nzima na kitendo cha ubakaji watoto.
ni mengi ambayo yalikuwa yakisemwa kuhusiana na mwanamuzi huku Nguza Viking au maarufu kwa jina la Babu Seya na watoto wake watatu. iliwasha maskioni mwa watu, watu walizungumza kila walilozungumza. kwa wazazi waliokuwa na watoto waliumizwa sana na kesi hii wakichukizwa na kitendo cha kikatili ambacho ilisemekana kilifanywa na Familia hii ya Nguza Viking.
inasemekana kuwa yeye na familia yake walikuwa wakiwabaka/lawiti watoto wadogo. hapa kulikuwa na maswali mengi sana kwa mzazi kufanya kitendo hiki akishikirikiana na watoto wake watatu.ilileta ukakasi sana. na hivyo akajikuta yeye na watoto wake watatu wakihukumiwa kifungo cha maisha.
ukiwaza unaweza sema kama walikuwa wakifanya kitendo hicho basi walifanya hivyo wakiwa chini ya influence ya kitu flan..landa ni ulevi au iman za kishirikina. sababu katika hali ya kawaida ni ngumu sana. lakini yalitokea hayo mambo hayo kwa mujibu wa mahakama. miaka mingi imepita Nguza Viking alionekana ni mtu ambaye hakuridhika na kesi au hukumu ile. na mara nyingi amekuw aakijaribu kukata rufaa na mwishowe angalau alipata faraja ya watoto wake wawili kuachiwa baada ya kuonekana hawakuwa na hatia. ila yeye na mwanawe mmoja walirudishwa tena ndani.
bado mpaka leo hii Nguza Viking anaonekana ni mtu ambaye hakuwah kukubaliana na ile hukumu au kesi. na kumekuwa na mingo'ono mingi sana kuhusiana na ile kesi.wengine wakisema kuwa ilikuwa ni adhabu baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mmoja aliyekuwa akitembea na kigogo mmoja.ikaonekana apewe adhabu hiyo.
suala hili kwa kifupi lilizungumzwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 mgombea mmoja alidokeza tu kifupi kuwa angemtoa babu seya gerezani. watu wengi hawakuataka kufuatilia kwa nini aseme vile mtu ambaye alikuwa huko nyuma kwenye serikali? je alikuwa na siri gani kuhusiana na kufungwa kwa familia hii ambayo hakuweka wazi?
ni kwanini waandishi hawakutaka kumuuliza kwa nini amtoe babu seya wakati mahakama ilikuwa imemhukumu kuwa ni mkosa?watu hawakutaka kuangalia zaidi.hawakutaka kwenda mbali zaidi waliishii sana sana kukebehi na kusahau kuwa huyu mtu ikiwa kweli alikuwa hana makosa alistahili kupewa haki ya kuishi huru.
katika nchi zeu za kiafrika (sijasema tanzania) wakati mwingine siasa zimekuwa zikitumika vibaya sana na nguvu za kisiasa zimekuwa zikitumika kwa maslah binafsi. lakini tumekuwa wasahaulifu sana. kawaida watuhumiwa wengi baada ya kuhukumiwa huwa wanajua maisha yao yameishia pale. lakini kwa nini mpaka leo nguza viking anaamini hajaetendewa haki na kuomba rais aingilie kati?ni kwanini?tumewah kujiuliza jambo hilo?au ni kwa kuwa sisi tupo huru hatujui waliofungwa wana hali gani?mimi sikatai kama ana makosa basi apate adhabu stahili. kuna wafungwa wangapi ndani ambao pamoja na kuwa walikana mashtaka lakini walipofungwa wakakubaliana na ukweli kuwa walikosea?
nimeiona barua inayosemekana kuwa imetoka kwa nguza viking. nimeisoma... concern yangu ni je ni kweli alikosa? je kama hakukosa ilikuaje? je kwa nini anadhani amejifunza kutokana na makosa? je kuna uwezekano kama kweli alikosea rais akamsamehe?au kama hakukosa kesi yake ikasikilizwa tena kwa kutumia mahakimu na mawakili wengine?
mimi sijui. bado kuna siri au ukweli flan ambao hatukuwah kuupata katika kesi hii. tusiangalie sana alichokiandika.katika hali aliyo nayo anaweza kumuita rais jina lolote..anaweza hata kumuita ni mwakilishi wa mungu hapa duniani.so tusimhukumu kutokana na maneno aliyotumia au rais aliyemwandikia. jukwa hili ni la Intelejensia tuangalie mambo haya ki intelejensia zaidi tuweke emotions zetu pembeni.