Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

me nilisikia ni anga za huyo mtalii muungwana dats why pia yasemwa jamaa kutoka may be awe anavyoomba kwa Mungu kuwa atoke pia awe anamuombea mtalii atoke madarakani either kwa kusinda uchaguzi au lolote baya else angalau wasubirie mpaka 2015

hii ni 2017.inaenda 2018 sasa mnona hawajatoka??
 
Unaponiuliza mimi Mzazi una maanisha nini. Je umesoma nilivyoandika. Kwa mfano mimi ni mzazi. Halafu nipange mtoto wangu asingizie mtu kumbaka. Ni ksiema si kweli itaondoa mimi kuwa mzazi. Labda niulize wewe ni mzazi wa wale watoto? Hebu tuelezxe ukeweli wote tafadhali!
 
Ni kweli mkuu, ndo maana naipenda JF...
 
Umeongea vizuri sana ila nikukumbushe tu Luna kaka MTU alikuwa anaitwa nguza viking nae aliingizwa kwenye sekeseke hilo akafungwa pamoja na mdogo wao wa mwisho lakini mwisho was siku ikaonekana nguza viking alikuwa Congo kipindi chote hicho.na pia kipindi mdogo wao wa mwisho anaangizwa kwenye kesi hiyo alikuwa chini ya miaja kumi na saba. Nijuavyo kijana akiwa katika umri huo Mara nyingi akitishwa vizuri na askali yupo tayari kusema kila kitu lakini msimamo wake hakuna kitu kama hicho but mwisho was rufaa walitoka wakabaki papii na mzee ambao kwa akili yangu ndo walikuwa targeting hata hivyo IPO Sikh ukweli utajulikana tu .asante magufuri kwa kuwasemehe watu hawa.
 
Muda kamwe ndio kila kitu.Sijui kama Babu Seya alilawiti au hakulawiti.

Ila nafsi yangu inanishuhudia ni ngumu baba na mwanaye kulawiti hasahasa kwa mtu mwenye akili timamu.

Nafurahi kaachiwa ila ipo siku ukweli itajulikana.
 
Kama bado uko hai kakate rufaa warudishwe tena jela!
 
Muda kamwe ndio kila kitu.Sijui kama Babu Seya alilawiti au hakulawiti.

Ila nafsi yangu inanishuhudia ni ngumu baba na mwanaye kulawiti hasahasa kwa mtu mwenye akili timamu.

Nafurahi kaachiwa ila ipo siku ukweli itajulikana.
Ndg ukweli haya mambo ni magum saana akili zetu binaadam tim flani huwa kama wanyama hivo lolote linaweza toka
Hebu fikiri mzazi anawezaje kulawiti mtoto wake wa kike tena kwa kuwachanganya iwe jambo kama hili
Simaani kama kweli babu seya alifanya ila tu kwa akili za wajinga wapo watu hufanya huu upuuzi
 
Na kweli maana ilipostiwa dec 31 2007, ni kitambo kweli, lazima kuulizia uhai..
Kuna watu wenye roho mbaya na ajabu ni kwamba wao wenyewe wanatambua hilo na bado hawachukui jitihada zozote kujikwamua! Haki huwa haipotei ila inacheleweshwa tu!
 
Kuna watu wenye roho mbaya na ajabu ni kwamba wao wenyewe wanatambua hilo na bado hawachukui jitihada zozote kujikwamua! Haki huwa haipotei ila inacheleweshwa tu!
Ni kweli kabisa usemayo mkuu, Haki huwa haipotei.
 
Asante Magufuli, japo nimepata jambo hapa. Ila hii kesi kiboko kama ni script basi director si mtu wa mchezo mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…