Pre GE2025 Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025

Pre GE2025 Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kesi ya Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76), imepigwa Kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025 baada ya kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Januari 10, 2025 kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
1736762929022.png
================

Wakili Peter Madeleka anayemwakilisha Dk. Wilbord Slaa kwenye kesi Na.993 ya mwaka 2025 ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa X ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuuwajibisha upande wa Jamhuri kwa kutomfikisha mahakamani hapo mtuhumiwa (Dk. Slaa).

Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa upande wa Jamhuri ndio uliowasilisha zuio la dhamana ya Dk. Slaa kwa madai ya usalama wake "ikiwa haonekani upo wapi uhakika wa usalama wake"

=====

Soma: Kesi ya Dr. Slaa inaendelea Mahakamani bila yeye kuwepo

Dk Slaa alisomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.

Screenshot 2025-01-13 125030.png
Soma, Pia
- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
 
BADO WEWE WEEE ENDELEA KUROPOKA TU TUNAKULIA TIMING UTAINGIA TU KWENYE 18 UNAFIKIRI NCHI YA KWAKO HII ?LAZIMA UKANYWE MAJI YA KWENYE SINKI LA CHOO USHIKE ADABU
..siamini kama hiki kitu kinaandikwa na Mtanganyika.....Maana hata WAKOLONI hawajawahi kuwa WAKATILI NAMNA HII,,,
 
BADO WEWE WEEE ENDELEA KUROPOKA TU TUNAKULIA TIMING UTAINGIA TU KWENYE 18 UNAFIKIRI NCHI YA KWAKO HII ?LAZIMA UKANYWE MAJI YA KWENYE SINKI LA CHOO USHIKE ADABU
Unampiga Mkwala mbuzi Mdude?! Haha...
 
CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu.
 
Back
Top Bottom