kesi ya Drug baron Shikuba

Ndoano

Senior Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
192
Reaction score
32
Napenda kufahamu yule Shikuba aliyekamatwa uwanja wa ndege na kisha kupelekwa Kilwa kwenye kesi yake ambae aliunganishwa na wenzie,Kesi yake inaendeleaje,Anaefahamu atujuze
 
Tatizo hapa ni uandishi wa habari wa kitanzania ambao tukio linaripotiwa leo na baada ya hapo hautalisikia tena. Sijui tatizo ni waandishi wa habari au tatizo ni watoa habari.

Tiba
 
Tatizo hapa ni uandishi wa habari wa kitanzania ambao tukio linaripotiwa leo na baada ya hapo hautalisikia tena. Sijui tatizo ni waandishi wa habari au tatizo ni watoa habari.

Tiba

Au vyombo kuzibwa midomo!!!
 
Shikuba yupo wapi kwa sasa? Anayejua anijuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…